Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mkurugenzi
wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan
Abbasi akiongea katika mkutano Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni kati
ya wadau wa Habari kati ya Tanzania na China Leo Jijini Dar es Salaam.
Balozi
wa China Nchini Dkt. Lu Youqing akiongea wakati wa ufunguzi wa Mkutano
wa Majadiliano kuhusu Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni ambapo aliahidi
kuendelea kutoa ushirikiano katika masuala Mawasiliano
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mkutano huo.
Mkurugenzi
wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan
Abbasi akiteta akiwaeleza jambo Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi
Uchukuzi na Mawasiliano(Mawasiliano) Mhandisi Angelina Madete (katikati)
na Naibu Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin
Ngonyani.
Makamu
wa Waziri Mwenye Dhamana ya masuala ya mitandao kitaifa kutoka China
Ren Xianliang akiongea wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Majadiliano
kuhusu Njia Mpya za Mawasiliano Mtandaoni ambapo aliahidi kuendelea
kutoa ushirikiano katika masuala Mawasiliano
Naibu
Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani
akiongea wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Majadiliano kuhusu Njia Mpya
za Mawasiliano Mtandaoni ambapo alisema kwa sasa serikali ipo katika
hatua za kutengeneza mpango wa taifa wa Usalama wa mtandao.
Naibu
Waziri Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani
akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano wa Njia Mpya za
Mawasiliano Mtandaoni
0 comments:
Post a Comment