Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt
John Pombe Magufuli na Balozi wa China nchini Dkt. Lu Youqing katika
picha ya pamoja na viiongozi mbalimbali baada ya uzinduzi rasmi ya
Uwanja wa kisasa wa ndegevita wa Ngerengere mkoani Morogoro leo Machi
6, 2017.
Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt
John Pombe Magufuli akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi ya Uwanja wa
kisasa wa ndegevita wa Ngerengere mkoani Morogoro leo Machi 6, 2017.
Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt
John Pombe Magufuli akijiandaa kufyatua risasi ya bastola kuashiria
matumizi rasmi ya Uwanja wa kisasa wa ndegevita wa Ngerengere mkoani
Morogoro leo Machi 6, 2017.
PICHA NA IKULU
0 comments:
Post a Comment