Home » » WAZIRI UMMY MWALIMU KUZINDUA KAMPENI YA WAZEE KWANZA

WAZIRI UMMY MWALIMU KUZINDUA KAMPENI YA WAZEE KWANZA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na wandishi wa habari juu ya uzinduzi wa kampeni ya Wazee kwanza toa kipaumbele apate huduma, leo Mkoani Morogoro kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kibwe Stephen.
Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima y Afya (NHIF) Michael Mhando Akizungumaza na wazee wa Mkoa wa Morogoro leo`
Wazee wakimsikiliza Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu .(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii-Morogoro ).
 
Kwa Hisani ya Michuzi Media

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa