Home » » MAAFISA HABARI NA MAWASILIANO SERIKALINI WAPEWA MAFUNZO YA HUDUMA KWA MTEJA NA ITIFKI MKOANI MOROGORO.

MAAFISA HABARI NA MAWASILIANO SERIKALINI WAPEWA MAFUNZO YA HUDUMA KWA MTEJA NA ITIFKI MKOANI MOROGORO.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Mtoa mada kuhusu Huduma kwa mteja Bi. Joy Nyabongo akiwafunza maafisa habari na mawasiliano wa Serikali kuhusu jinsi gani ya kutoa huduma nzuri kwa wateja wao wanapokuwa katika vituo vyao vya kazi.
Mtoa mada kuhusu Huduma kwa mteja Bi. Joy Nyabongo akigawa moja ya DVD kwa afisa habari wa TFDA Bi.Gaudensia Simwanza kwa ajili ya kumsaidia katika utendaji wa kazi yake.DVD izo zina mafunzo mbalimbali yanayousu kumhudumia vyema mteja.
Mtaalamu wa masuala ya Itifaki Balozi Chilambo(aliyesimama) akitoa mada kuhusu itifaki kwa maafisa mawasiliano na habari wa serikali watakapokuwa katika majukumu ya kiserikali.
Afisa Habari wa jiji la Mwanza Bw.Kaaya Elirehema Mosses akichangia jambo wakati wa kikao kazi cha maafisa habari wa serikali kinachofanyika jijini mkoani Morogoro.

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa