Home » » TUKIO KATIKA PICHA: BLOGS ZA MIKOA KUPITIA MOROGORO YETU BLOG WATEMBELEA ENEO LA MGETA WILAYA YA MVOMERO MKOANI MOROGORO.

TUKIO KATIKA PICHA: BLOGS ZA MIKOA KUPITIA MOROGORO YETU BLOG WATEMBELEA ENEO LA MGETA WILAYA YA MVOMERO MKOANI MOROGORO.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Kajumba kakiwa Mlimani
 Mandhari nzuri na ya kuvutia
 Dogo akiwa maeneo ya Kabundi

 Bado Milima Mizuri

 Wengine wanasema Huu ni Mto Ruaha umepita huku

 Daraja la kupita watu
 Mpaka Mgeta wamepigiwa X
 Hapa maeneo ya Mgeta Mjini
 Mawe mazuri ndani ya Mgeta
 Mmoja wa wakilishi kutoka Tone Multimedia Group Kupitia Blogs za Mikoa na kuwakilisha Morogoro yetu kutoka Dar es salaam akiwa anafanya utalii wa Ndani Mgeta
 Mboga mboga zinakuwa vizuri sana
 Kijiji  kikiwa na madhari nzuri ingawa kuna baridi ya kutosha
 Mgeta mawasiliano yapo ya mitandao yote safi kabisa hapa ni kijiji cha Chipenyuko
 Ndizi pia za kutosha huku
 Miwa nayo Imeshamili sana

Picha zote na Morogoro yetu

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa