Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Askari wa
kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Analijulina Bw Crispan
'Mandela' amegongwa na gari eneo la Mtawala Barabara inayotoka Msavumu
kuingia katikatika ya Mji wa Morogoro.Hii ni Mara ya Pili kwa Askari
Huyo Kugongwa na Gari.
0 comments:
Post a Comment