Home » » Kivulini: Ukatili kwa wanawake ukomeshwe

Kivulini: Ukatili kwa wanawake ukomeshwe

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
SHIRIKA la Kutetea Haki za Wanawake na Wasichana la Kivulini, limewataka Watanzania kushirikiana kupiga vita ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake.
Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mkurugenzi wa Shirika hilo lenye makao makuu yake jijini Mwanza, Ramadhani Masele, alipozungumza kwenye mdahalo uliolenga kuibua sababu za wanawake kutokujichagua wenyewe katika nyanja za uongozi.
Alisema wanawake wengi wamekuwa waoga kupigania haki zao, jambo linalosababisha jamii iendelee kuwaona hawajiwezi.
Chanzo;tanzania Daima 

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa