Mtaka alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipokuwa akifungua mkutano wa kutathmini Mradi wa Tuamke Sasa wilayani humo ulioandaliwa na asasi ya kiraia inayojishughulisha na utoaji elimu ya uraia na masuala ya kijamii (Tacci).
Alisema vijana na wananchi wa sasa hawawajibiki ipasavyo na badala yake wanailalamikia serikali wakidai haijafanya lolote la maana wakati wao wangeweza kuwa chanzo cha mafanikio.
Chanzo;Tanzania Daima
0 comments:
Post a Comment