Home » » Sua, vyuo sita vyaanzisha mradi

Sua, vyuo sita vyaanzisha mradi

Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (Sua) kwa kushirikiana na vyuo sita kutoka nchi za Kenya, Uganda, Zambia na Norway zimeanzisha mradi maalumu wa kutoa mafunzo na kuwajengea uwezo wataalamu wanaofanya utafiti kuhusiana na Afya ya Mazingira na Viumbe vya Majini (Trahesa). Hayo yalibainishwa mkoani hapa katika mkutano na wadau mbalimbali wa sekta ya uvuvi nchini na Mkuu wa mradi huo, Profesa Robinson Mdegela. Alisema mradi huo utasaidia kuimarisha uwezo wa matumizi sahihi na endelevu sekta ya uvuvi.
Chanzo;Mwananchi

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa