Home » » P-FUNK ATEMBELEA KABURI LA NGWAIR.

P-FUNK ATEMBELEA KABURI LA NGWAIR.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


Majani akiwa kwenye kaburi la Ngwair
Producer wa Bongo Records, P-Funk Majani wiki hii amelitembelea kaburi la Ngwair mjini Morogoro.

Mtayarishaji huyo wa muziki alikuwa anatokea bungeni Dodoma ambako alienda pamoja na watu wengine kuhimiza kutambulika rasmi kwa shughuli za sanaa kwenye katiba mpya ya Tanzania.

“Visit Ngwair’s grave on my way back from Dodoma, it was very emotional,” aliandika Majani jana.
CHANZO-BONGO5

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa