Home » » ALAT yawa mbongo

ALAT yawa mbongo

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

JUMUIYA ya Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, imeitaka serikali kuu kutangaza kuzivunja serikali za mitaa iwapo wanaona hazihitajiki kutokana na kushindwa kuzitambua katika rasimu ya katiba mpya.
Kwamba rasimu hiyo isijadiliwe na irudishwe upya kujadiliwa kwanza na Watanganyika, ambao hawakupata fursa ya kuijadili kama ilivyofanyika kwa Watanzania na Wazanzibari.
Mwenyekiti wa ALAT taifa, ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi, alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro.
Chanzo;Tanzania Daima 

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa