Home » » NEWS ALERT: Basi la Taqwa toka Zimbabwe lapata ajali mbaya sana Mikumi

NEWS ALERT: Basi la Taqwa toka Zimbabwe lapata ajali mbaya sana Mikumi


Ajali mbaya imetokea Mikumi muda mchache uliopita baada ya Basi la Taqwa kujaribu ku overtake Lory ambalo lilikuwa limebeba Mbao, katika ajali hiyo inadhaniwa wamefariki watu watatu wakiwemo wanawake wawili na mwanaume mmoja, Majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Mikumi na Basi la Princess Muro. Habari zaidi kutoka kwa shuhuda zinasema kwamba aliyesababisha ajali hiyo si dereva na kwamba aliyekuwa anaendesha gari hilo ni msimamizi wa madereva hao.

CHANZO JAMII FORUM

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa