Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Super Feo kugongana na Land Rover, eneo la Mikumi, mkoani Morogoro jana. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile amethibitisha kutokea ajali hiyo.
Home »
» BASI LA SUPER FEO LAPATA AJALI MIKUMI NA WATU WAWILI WAFARIKI PAPO HAPO
BASI LA SUPER FEO LAPATA AJALI MIKUMI NA WATU WAWILI WAFARIKI PAPO HAPO
Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Super Feo kugongana na Land Rover, eneo la Mikumi, mkoani Morogoro jana. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile amethibitisha kutokea ajali hiyo.
0 comments:
Post a Comment