Home » » MAADHIMISHO YA MASHUJAA YAFANA MOROGORO.

MAADHIMISHO YA MASHUJAA YAFANA MOROGORO.

 MKUU wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akitemka katika gari wakati akiwasiri katika viwanja vya mzunguko wa Posta kwa sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya mashujaa iliyoadhimishwa kimkoa mkoani Morogoro. 
PICHA JUMAMTANDA.BLOG.
 KIKOSI cha jeshi la Polisi wakati wa gwalide la kuwakumbuka mashujaa.
 ASKARI wa jeshi la Magereza akiony
esha ukakamavu wakati wa gwalide hilo.
ASKARI wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) akiwa katika gwalide muda mfupi kabla ya kuelekea mnara wa posta ambako sherehe za kuwakumbuka mashujaa ilifanyika kimkoa. 
  JUMAMTANDA.BLOG.

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa