Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Shughuli ya kuliondoa Lori hilo barabarani ikiwa inaendelea ili kupisha watu wapate kupita
Baadhi ya watu wakiwa wametoka katika vyombo vyao vya usafiri wakingoja Lori liondolewe ili waendelee na safari
Hivi sasa Mabasi na magari mbalimbali sasa yanaendelea na safari kama kawaida
Picha na Morogoro yetu Blog
0 comments:
Post a Comment