Home »
» MAADHIMISHO YA SIKUKUU ZA MEI MOSI MOROGORO
MAADHIMISHO YA SIKUKUU ZA MEI MOSI MOROGORO
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Picha na Juma Mtanda Blog
Daktari
mtaalamu wa nusu kaputi katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro,
Doward Lulambo kulia akiongoza mfano wa kumzalisha mama mjamzito kwa
njia ya operesheni wakati wa maadhamisho ya kilele cha siku ya
wafanyakazi duniani yaliyoadhimishwa katika uwanja wa jamhuri mkoani
Morogoro.
Mkuu
wa wilaya ya Morogoro Said Amanzi (katikati) akiwa ameshikana mikono na
Katibu Tawala Msaidizi Miundombinu mkoa wa Morogoro, Lucas Mwaijaka
kulia na Bujaga Kagado ambaye ni Mwenyekiti wa Tucta mkoa wa Morogoro
katika sherehe hizo.
Sehemu ya wafanyakazi.
Meya wa Manispaa ya Morogoro Amir Juma Nondo (Mwenye koti) kushoto wakicheza kwaito.
Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Said Amanzi akihutubia wafanyakazi.
Hawa
ndiyo wenye sherehe shirikisho la vyama vya wafanyakazi Morogoro
(RAAWU) wakiongoza maandamano ya maadhimisho ya kilele cha Mei Mosi 2014
ambayo yalifanyika uwanja wa jamhuri Morogoro.
Cakatapili likionyesha mbwembwe wakati likipita mbele ya mgeni rasmi
Huyu ni mnyama swala aliyekaushwa aliyeletwa hifadhi ya taifa ya Mikumi
Gari
la kampuni ya tanseed international Morogoro likiwa limebeba miche ya
mahindi yenye mazao kupitia mbegu bora za tani 250 mbele ya mgeni rasmi
mkuu wa wilaya ya Morogoro Said Amanzi (hayupo pichani ) wakati wa
maadhamisho ya kilele cha siku ya wafanyakazi duniani yaliyoadhimishwa
katika uwanja wa jamhuri mkoani Morogoro.
0 comments:
Post a Comment