Home » » NEWS ALERT: MTU MMOJA AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI ,39 WAJERUHIWA VIBAYA

NEWS ALERT: MTU MMOJA AFARIKI KWA KUPIGWA RISASI ,39 WAJERUHIWA VIBAYA

Taarifa zilizotufikia Hivi Punde zinasema Mtu Mmoja afariki dunia   na wengine 39 wareruhiwa kwa  Risasi  katika kijiji cha Lukindo Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro kwenye Mgogoro wa wakulima na Wafugaji  Wanaogombea Bonde la Mgongolwa.Muda huu.taarifa zaidi inakuja
 
Chanzo: Juma Mtanda Blog

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa