Home » » MBUNGE WA MOROGORO KUSINI AHAMASISHA MAENDELEO KIJIJI CHA MLALO

MBUNGE WA MOROGORO KUSINI AHAMASISHA MAENDELEO KIJIJI CHA MLALO

Mbunge huyo akiteta na wananchi wa jimbo la morogoro kusini katika kijiji cha tawa wakati wa ufunguzi wa barabara ya kijiji hicho
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh Innocent Kalogeris Akiwa pamoja na wananchi wa jimbo hilo wakati akihamasisha wananchi hao wakati wa ufunguzi wa barabara ya kuunganisha kijiji cha mlalo na tawa jana katika jimbo hilo
Mbunge huyo hapa akifanya kazi kwa juhudi kuwahamasisha wanakijiji wa mlalo jana
Mbunge wa Morogorokusini Mh Innocent Kalogeris Akiwa na diwani wa kata ya tawa Morogoro kusini

Wakazi wa Mlalo wakimsikiliza mbunge wa jimbo hilo leo wakati alipokwendda kuwahamasisha katika shuguli za ujenzi wa barabara
 NA JOSEPH LUKAZA BLOG

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa