TPHPA yaahidi kufuatilia changamoto ya Nzi weupe Nyandira Wilayani Mvomero zilizotolewa na wakulima kupitia mradi AGRISPARK - SUA

 Na: Calvin Gwabara – Mvomero.Kufuatia taarifa za athari kubwa za Nzi Weupe kwenye mazao ya mbogambona Wilayani Mvomero zilizoibuliwa na wakulima wakati wa utekelezaji wa mradi wa AGRISPARK Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru ameahidi kutuma timu ya wataalamu kwenye wilaya hiyo kuona athari na kufanya oparesheni ya kuwatokomeza wadudu hao.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru (Picha kwa msaada https://afrikaleo.co.t...

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN APONGEZA NSSF NA JESHI LA MAGEREZA KUKAMILISHA MRADI WA KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN APONGEZA NSSF NA JESHI LA MAGEREZA KUKAMILISHA MRADI WA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI*Asema mradi huu una umuhimu wa kipekee *Asema kiwanda hicho kinaenda kutoa uhakika wa sukari nchini, awapongeza NSSF na Jeshi la Magereza kwa kufanikisha mradi huoNa MWANDISHI WETU,MOROGORO. Historia imeandikwa na hakika hakuna kilichokwama! Unaweza kusema hivyo baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuzindua rasmi mradi wa kiwanda cha sukari Mkulazi, kilichopo Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro na kusema mradi huo anataka uwe endelevu kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa...

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Daraja la Berega, Kilosa Mkoani Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi Daraja la Berega lililopo Wilayani Kilosa katika muendelezo wa ziara yake ya Kikazi Mkoani Morogoro tarehe 02 Agosti, 2024. @font-face {font-family:"Cambria Math"; panose-1:2 4 5 3 5 4 6 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:roman; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536870145 1107305727 0 0 415 0;}@font-face {font-family:Calibri; panose-1:2 15 5 2 2 2 4 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:swiss; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536859905 -1073732485 9...

Warsha ya Kitaifa Kujadili Shabaha za Kuondoa Uharibifu wa Ardhi na Mbinu Shirikishi ya Tathmini ya Ardhi (ILAM) Yafanyika Morogoro

Warsha ya Kitaifa Kujadili Shabaha za Kuondoa Uharibifu wa Ardhi na Mbinu Shirikishi za Tathmini ya Ardhi (ILAM) Yafanyika MorogoroWataalamu na wadau wa sekta mbalimbali nchini walishiriki katika warsha ya siku mbili kwa ajili ya wajumbe wa Kitaifa wa Shabaha za Kuondoa Uharibifu wa Ardhi (Land Degradation Neutrality National Working Group – LDN WG) sambamba na mafunzo ya Mbinu Shirikishi za Tathmini ya Ardhi (Integrated Land Assessment Methodology – ILAM).Akifungua warsha hiyo iliyoandaliwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupitia mradi wa Usimamizi Shirikishi wa Misitu ya Miombo ya Nyanda Kame Tanzania jijini Morogoro,...

NSSF MABINGWA TAMASHA LA PASAKA 2018

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Wanamichezo kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) wakipokelewa na wenzao wa NSSF katika bandari ya Dar es Salaam baada ya kuwasili katika michezo ya tamasha la Pasaka. Wanamichezo kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) wakipokelewa na wenzao wa NSSF katika bandari ya Dar es Salaam baada ya kuwasili katika michezo ya tamasha la Pasaka.  Mapokezi. Ofisa wa NSSF, Pili Mogella (kulia), akimkaribisha Ofisa wa ZSSF.    ZSSF wakiwasili bandarini.  Wachezaji...
 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa