
Na: Calvin Gwabara – Mvomero.Kufuatia taarifa za athari kubwa za Nzi Weupe kwenye mazao ya mbogambona Wilayani Mvomero zilizoibuliwa na wakulima wakati wa utekelezaji wa mradi wa AGRISPARK Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru ameahidi kutuma timu ya wataalamu kwenye wilaya hiyo kuona athari na kufanya oparesheni ya kuwatokomeza wadudu hao.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru (Picha kwa msaada https://afrikaleo.co.t...