Na: Calvin Gwabara – Mvomero.
Kufuatia taarifa za athari kubwa za Nzi Weupe kwenye mazao ya
mbogambona Wilayani Mvomero zilizoibuliwa na wakulima
wakati wa utekelezaji wa mradi wa AGRISPARK Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania
(TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru ameahidi kutuma timu ya
wataalamu kwenye wilaya hiyo kuona athari na kufanya oparesheni
ya kuwatokomeza wadudu hao.
![]() |
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru (Picha kwa msaada https://afrikaleo.co.tz/) |
0 comments:
Post a Comment