Home » » TPHPA yaahidi kufuatilia changamoto ya Nzi weupe Nyandira Wilayani Mvomero zilizotolewa na wakulima kupitia mradi AGRISPARK - SUA

TPHPA yaahidi kufuatilia changamoto ya Nzi weupe Nyandira Wilayani Mvomero zilizotolewa na wakulima kupitia mradi AGRISPARK - SUA

 Na: Calvin Gwabara – Mvomero.

Kufuatia taarifa za athari kubwa za Nzi Weupe kwenye mazao ya 

mbogambona Wilayani Mvomero zilizoibuliwa na wakulima

 wakati wa utekelezaji wa mradi wa AGRISPARK Mkurugenzi 

Mkuu wa Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu Tanzania

 (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru ameahidi kutuma timu ya

 wataalamu kwenye wilaya hiyo kuona athari na kufanya oparesheni 

ya kuwatokomeza wadudu hao.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya afya ya mimea na viuatilifu
 Tanzania (TPHPA), Prof. Joseph Ndunguru
 (Picha kwa msaada 
https://afrikaleo.co.tz/)

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa