Home » » TAMASHA KUBWA LA TIGO FIESTA LAKUTANISHA MAELFU YA WAKAZI WA MOROGORO

TAMASHA KUBWA LA TIGO FIESTA LAKUTANISHA MAELFU YA WAKAZI WA MOROGORO


Wasanii Ben Pol na Jux wakishirikiana kuimba wimbo wao NAKUCHANA kwenye jukwaa la Tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro juzi.

Country Boy akiimba na maelfu ya mashabiki waliojitokeza katika Tamasha la Tigo Fiesta 

Rich Mavoko akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta mkoani Morogoro mapema usiku wa kuamkia jumatatu.

MimiMars akiimba katika jukwaa la Tigo Fiesta mapema usiku wa kuamkia jumatatu mkoani Morogoro.


Barnaba akitumbuiza kwa maelfu ya mashabiki waliojitokeza kwenye Tamasha la Tigo Fiesta mkoani Morogoro.

NedyMusic aktumbuiza katika jukwaa la Tigo fiesta mapema juzi katika viwanja vya Jamhuri mkoani Dodoma.

Nandy akiburudisha wakazi wa Morogoro katika Tamasha la Tigo fiesta mapema juzi katika viwanja vya Jamhuri
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa