Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Hapa ni
katika ukumbi wa Flomi Hotel mjini Morogoro ambako leo Ijumaa Novemba
06,2015 kunafanyika mkutano mkuu wa wanachama wa Muungano wa Klabu za
waandishi wa habari Tanzania-UTPC wanakutana kujadili mambo mbali mbali
ili kuboresha taaluma ya uandishi wa habari nchini Tanzania.Mkutano huo
wa siku mbili unakutanisha wenyeviti wa klabu za waandishi wa habari
Tanzania,makatibu na waweka hazina.Katika mkutano huo pia utafanyika
uchaguzi wa rais wa UTPC na wajumbe wa bodi wa UTPC-Fuatilia picha hapa
chini kinachoendelea ukumbini-Picha zote na Kadama Malunde na Shomari
Binda-Malunde1 blog.
Kushoto ni mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan,akifuatiwa na makamu wa rais UPC Jane Mihanji,rais wa UTPC Kenneth Simbaya na mwenyekiti wa kamati ya maadili UTPC Deo Nsogolo
Mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan akiwasalimia wajumbe wa mkutano huo.
Kauli mbiu ya mkutano huo ni "Tumia Klabu za waandishi wa habari kwa maendeleo ya mkoa wako"
Mkutano unaendelea
Rais wa UTPC anayemaliza muda wake Kenneth Simbaya akifungua mkutano.
Wajumbe wa mkutano wakiwa ukumbini.
Mkutano unaendelea.
Mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan akizungumza ukumbini.
Mkutano unaendelea.
Rais wa UTPC Kenneth Simbaya akikabidhi hati ya usajili ya Katavi Press Club kwa mwenyekiti wa klabu hiyo Walter Mguluchuma.
Wajumbe wakiwa ukumbini.
Mkutano unaendelea.
Wajumbe wakiwa ukumbini.
Mkutano unaendelea
Tunafuatilia kinachoendelea......
Wajumbe wa mkutano wakiwa ukumbini
Mkutano unaendelea
Mkutano unaendelea.
mkutano unaendelea
Wajumbe wakiwa ukumbini
Mkutano unaendelea
Tunafuatilia kinachojiri ukumbini
Mkutano unaendelea
Mkutano unaendelea
Mkutano unaendelea
Picha zote na Kadama Malunde na Shomari Binda-Malunde1 blog
0 comments:
Post a Comment