Home » » TUKIO KATIKA PICHA: MAMIA YA WATU WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA MTOTO NARSA(MTOTO WA KWENYE BOKSI) KATIKA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO.

TUKIO KATIKA PICHA: MAMIA YA WATU WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA MTOTO NARSA(MTOTO WA KWENYE BOKSI) KATIKA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Umati wa watu uliofurika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuaga mwili wa Nasra.
Wanafunzi wa Shule za Msingi Mkoani Morogoro nao walijumuika kumuaga mtoto Nasra Rashid katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro.
Picha na Daustan Shekidele

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa