
BWAWA LA MINDU:
Naibu waziri wa maji Amos Makala akihoji jambo kwa Kaimu Mkurugenzi Mamlaka ya Maji (MORUWASA) Halima Mbiru wakati wa ziara ya naibu waziri huyo ya ukaguzi wa maendeleo ya sekta ya maji mkoa wa Morogoro.PICHA/MTANDA BLOG
Naibu waziri wa maji Amos Makala akihoji jambo kwa Kaimu Mkurugenzi Mamlaka ya Maji (MORUWASA) Halima Mbiru wakati wa ziara ya naibu waziri huyo ya ukaguzi wa maendeleo ya sekta ya maji mkoa wa Morogoro.PICHA/MTANDA BLOG

UFAFANUZI:
Naibu waziri Amos Makala (katikati) akifafanuliwa jambo na Kaimu Mkurugenzi Mamlaka ya Maji (MORUWASA) Halima Mbiru kushoto kwa Mhandisi Mkazi Sean kulia katika machujio ya maji na kutibu ya mafuga katika ziara hiyo.PICHA/MTANDA BLOG
Naibu waziri Amos Makala (katikati) akifafanuliwa jambo na Kaimu Mkurugenzi Mamlaka ya Maji (MORUWASA) Halima Mbiru kushoto kwa Mhandisi Mkazi Sean kulia katika machujio ya maji na kutibu ya mafuga katika ziara hiyo.PICHA/MTANDA BLOG

Naibu waziri Amos Makalakushoto akipokea
taarifa kutoka kwa Mhandisi Mkazi Sean kabla ya kumtembeza sehemu
mbalimbali za kuchuja maji na kutibu katika machujio ya
Mafiga.PICHA/MTANDA BLOG

Hapa akipata maelezo

Maelezo yaliendelea hivi.

MABOGO.
Sehemu ya mradi mungine wa chanzo cha maji cha Mambogo
Sehemu ya mradi mungine wa chanzo cha maji cha Mambogo


Asaini kitabu.
Mtanda Blog
0 comments:
Post a Comment