Home » » OPARESHENI YA POLISI MORO KUSAKA WAHARIFU NA WAPIKAJI WA POMBE HARAMU YA GONGO

OPARESHENI YA POLISI MORO KUSAKA WAHARIFU NA WAPIKAJI WA POMBE HARAMU YA GONGO



Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilongile ( mwenye fimbo) akiangalia mifuko ya mbolea iliyobadirishwa kwa baadhi kuwekwa mbolea Minjingu katika mifuko ya mbolea yenye nembo ya aina ya CAN baada ya kuikamata hivi karibuni katika ghala la mfanyabiashara wa Duka la Pembejeo za kilimo eneo la Nane Nane , Mjini Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilongile akiwaonesha Waandishi wa Habari ( hawapo pichani) baadhi ya vitu vya aina mbalimbali ikiwemo mitambo ya kupinga pombe haramu ya gongo, mapipa , madumu na mifuko ya mbolea iliyochakachuliwa, viroba vya bangi na sare moja ya JWTZ ,ambayo kwa pamoja vilikamatwa na Polisi wakati wa oparesheni iliyioanza Mei mosi mwaka huu hadi Mei 22, mwaka huu mkoani Morogoro.
Baadhi ya Askaari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro walioshiriki oparesheni ya ukamataji wa mitambo na mapipa ya gongo.Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii,Morogoro.

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa