Home » » Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara yafanya ziara Mkoani Morogoro

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara yafanya ziara Mkoani Morogoro


 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kushoto) akimsililiza Mwenyekiti wa Kamati  ya  Kudumu ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara , Mahmoud Mgimwa ( kati kati),ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, ( CCM), bara baada ya kusomewa taarifa na Mkuu huyo wa Mkoa katika ukimbi uliopo kwenye jengo la Ofisi hiyo.
 Baadhi ya Wabunge ambao ni Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Uchumi,Viawanda na Biashara walipokuwa katika ziara yao ya kutembelea viwanda mbalimbali Mkoani Morogoro.
 wajumbe wa  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara wakiwa kwenye Kiwanda cha Nguo cha 21 th Century cha Morogoro.
 Meneja Uendeshaji wa Kiwanda cha Nguo cha 21 th Century cha Morogoro , Clement Munisi, ( aliyenyoosha mkono) akitoa maelezo mbele ya baadhi ya wajumbe wa  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara , ikiongozwa na Mwenyekiti wake ,Mahmoud Mgimwa ( kati kati) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, ( CCM), na ( kulia ) ni Mbunge wa Viti Maalumu CCM wa Mkoa wa Geita, Vicky Kamata  na ( kushoto) ni mwezake wa viti maalumu kutoka Mkoa wa Tanga , Amina Mwidau, walipokitembelea kiwanda hicho juzi mjini.Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii,Morogoro.

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa