Hapa
ni katikati ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi Magari yanaonekana yanakwenda
Taratibu huku nako kushoto kwa Mbali kunadereva amezidisha mwendo na
akipigwa swali kama kuna sababu ya kumuachia aende au awajibike kwa
sababu ya kosa la mwendo kasi..
Hapa Ukikimbia tuu unalo...
Hii ni kutokana na ongezeko la ajali lakini pia wanyama kupoteza maisha kwa kugongwa
Hapa ni Heshima na utiii
Safi sana
Hongera Askari wa Usalama Barabarani kwa kazi nzuri sana hii ni zaidi ya pongezi
Wanyama hawa wanahitajika kulindwa sana .....
Picha na Morogoro yetu
0 comments:
Post a Comment