Home » » PSPF YATOA SOMO JUU YA UCHANGIAJI WA HIARI KWA WASHIRIKI WA SHIMIWI MOROGORO KATIKA UWANJA WA JAMUHURI.

PSPF YATOA SOMO JUU YA UCHANGIAJI WA HIARI KWA WASHIRIKI WA SHIMIWI MOROGORO KATIKA UWANJA WA JAMUHURI.

Michezo ikiwa inaendelea 
Baadhi ya watazamaji wakiwa wanatazama michezo hiyo
Msemaji wa Michezo wa PSPF Bwana Gwamaka Ngomale akihojiwa na waandishi wa Habari juu ya mashindano ya SHIMWI na wao walivyo shiriki hasa katika udhamini wao
Msemaji wa Michezo wa PSPF Bwana Gwamaka Ngomale   akiendelea kugawa vipeperushi  vya PSPF
Watu wakiendelea Kujiunga na PSPF
Watu wakiendelea kujiunga na Mfuko wa Kuchangia kwa Hiari wa PSS kutoka PSPF


Wadau mbalimbali 


Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa