Home » » TLTC yaibuka kinara wa misaada ya Jamii Mkoani Morogoro

TLTC yaibuka kinara wa misaada ya Jamii Mkoani Morogoro

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Joel Bendera akizungumza mara baada ya kukabidhiwa tuzo ya Uongozi Bora wakati wa sherehe za Tuzo za Urugulu kwa mwaka 2014 zilizofanyika Mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya TLTC wakifurahia tuzo ya Mshindi wa jumla kwa utoaji wa misaada kwa Jamii mkoani wakati wa Sherehe za Tuzo za Urugulu mwaka 2014 zilizofanyika Morogoro mwishoni mwa wiki
 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Dk Joel Bendera akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya Tumbaku Tanzania (TLTC) ambayo ilitwaa tuzo ya Mshindi wa jumla kwa utoaji wa misaada kwa Jamii mkoani humo wakati wa Sherehe za Tuzo za Urugulu mwaka 2014 zilizofanyika Morogoro mwishoni mwa wiki.
 Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya Tumbaku Tanzania (TLTC), Richard Sinamtwa akiwa amenyanyua juu kombe la Mshindi wa jumla kwa utoaji wa misaada kwa Jamii mkoani Morogoro wakati wa Sherehe za Tuzo za Urugulu mwaka 2014 zilizofanyika Morogoro mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk Joel Bendera(kulia) akimkabidhi Kombe, Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya Tumbaku Tanzania (TLTC), Richard Sinamtwa kampuni tuzo ya Mshindi wa jumla kwa utoaji wa misaada kwa Jamii mkoani wakati wa Sherehe za Tuzo za Urugulu mwaka 2014 zilizofanyika Morogoro mwishoni mwa wiki
 Picha na Michuzi Jr Blog

0 comments:

 
Supported by : Tone Media
Copyright © 2012. Morogoro Yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa